Job 14:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Kama vile maji yakaukavyo ziwani, na mto unavyokoma kutiririka,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama vile maji yanavyotoweka katika bahari, au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama vile maji kupwa katika bahari, Na mto kupunguka na kukatika;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Kama vile maji yakaukavyo ziwani, na mto unavyokoma kutiririka,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama vile maji yatowekavyo katika bahari, au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama vile maji yatowekavyo katika bahari, au mkondo wa mto ukaushwavyo na kuwa mkavu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama vile maji kupwa katika bahari, Na mto kupunguka na kukatika;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Kama vile maji yakaukavyo ziwani, na mto unavyokoma kutiririka,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maji ya bahari hupwa, nayo ya mtoni hupotea kabisa, pawe pakavu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama vile maji kupwa katika bahari, Na mto kupunguka na kukatika;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama vile maji yanavyokauka katika ziwa, na muto unavyokoma kutiririka,