Job 14:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huhisi tu maumivu ya mwili wake, na kuomboleza tu hali yake mbaya.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe, naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini mwili ulio juu yake una maumivu, Na nafsi yake ndani huomboleza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huhisi tu maumivu ya mwili wake, na kuomboleza tu hali yake mbaya.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe, naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye hasikii kingine isipokuwa maumivu ya mwili wake mwenyewe, naye huomboleza kwa ajili yake mwenyewe.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huhisi tu maumivu ya mwili wake, Na huombolezea nafsi yake tu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huhisi tu maumivu ya mwili wake, na kuomboleza tu hali yake mbaya.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huyasikia tu maumivu ya mwili wake yeye, nayo roho yake husikitika kwa ajili yake yeye. Elifazi wa Temani akajibu akisema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini mwili ulio juu yake una maumivu, Na nafsi yake ndani huomboleza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anasikia tu maumivu ya mwili wake, na kuomboleza tu hali yake mbaya.