Job 14:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana mti ukikatwa lipo tumaini la kuota, waweza kuchipua tena.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani yako matumaini ya mti, ya kuwa ukikatwa utachipuka tena, Wala machipukizi yake hayatakoma.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana mti ukikatwa lipo tumaini la kuota, waweza kuchipua tena.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kwa maana lipo tumaini kwa mti, kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwani yako matumaini ya mti, ya kuwa ukikatwa utachipuka tena, Wala machipukizi yake hayatakoma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana mti ukikatwa lipo tumaini la kuota, waweza kuchipua tena.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kiko kingojeo kinachoupasa huo mti nao: kama unakatwa, huchipuka tena, nayo hayo machipukizi yake hayakomi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani yako matumaini ya mti, ya kuwa ukikatwa utachipuka tena, Wala machipukizi yake hayatakoma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Muti ukikatwa, kuna tumaini la kuota, unaweza kuchipuka tena.