Job 15:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
sembuse binadamu aliye kinyaa na mpotovu binadamu atendaye uovu kama kunywa maji!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu, ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu, Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
sembuse binadamu aliye kinyaa na mpotovu binadamu atendaye uovu kama kunywa maji!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu, ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu, ambaye hunywa uovu kama anywavyo maji!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu, Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
sembuse binadamu aliye kinyaa na mpotovu binadamu atendaye uovu kama kunywa maji!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sembuse mtu amchukizaye kwa upotevu, yeye mtu afanyaye maovu, kama ni kunywa maji tu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sembuse mtu ambaye ni mwenye kuchukiza na uchafu, Mwanadamu anywaye uovu kama anywavyo maji!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kefu sasa mwanadamu anayekuwa chukizo na mupotovu, mwanadamu anayetenda uovu kama kunywa maji!