Job 15:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
mafundisho ya wenye hekima, mambo ambayo wazee wao hawakuyaficha,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ambayo watu wenye hekima wameyanena, bila kuficha lolote walilopokea toka kwa baba zao
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
(Ambayo watu wenye hekima wameyatangaza Tokea baba zao, wala hawakuyaficha;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
mafundisho ya wenye hekima, mambo ambayo wazee wao hawakuyaficha,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ambayo watu wenye hekima wameyanena, bila kuficha lo lote walilopokea toka kwa baba zao
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ambayo watu wenye hekima wameyanena, bila kuficha lolote walilopokea toka kwa baba zao
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
(Ambayo watu wenye hekima wameyatangaza Tokea baba zao, wala hawakuyaficha;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
mafundisho ya wenye hekima, mambo ambayo wazee wao hawakuyaficha,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Werevu wa kweli wanayoyatangaza ni yayo hayo, kwani waliyoambiwa na baba zao hawakuyasahau;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
(Ambayo watu wenye hekima wameyatangaza Tokea baba zao, wala hawakuyaficha;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
mafundisho ya wenye hekima, mambo ambayo wazee wao hawakuficha,