Job 15:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ambao Mungu aliwapa hiyo nchi peke yao, wala hakuna mgeni aliyepita miongoni mwao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
(wakati ambao wao peke yao ndio walipewa nchi, hakuna mgeni aliyepita miongoni mwao):
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Waliopewa hiyo nchi peke yao, Wala mgeni hakupita kati yao);
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ambao Mungu aliwapa hiyo nchi peke yao, wala hakuna mgeni aliyepita miongoni mwao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
(wakati ambao wao peke yao ndio walipewa nchi, hakuna mgeni aliyepita miongoni mwao):
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
(wakati ambao wao peke yao ndio walipewa nchi, hakuna mgeni aliyepita miongoni mwao):
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Waliopewa hiyo nchi peke yao, Wala mgeni hakupita kati yao);
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ambao Mungu aliwapa hiyo nchi peke yao, wala hakuna mgeni aliyepita miongoni mwao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
walikuwa wamepewa nchi hii wao peke yao tu, wala hakuwako mgeni aliyepita kwao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Waliopewa hiyo nchi peke yao, Wala mgeni hakupita kati yao);
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
ambao Mungu aliwapa hiyo inchi peke yao, wala hakuna mugeni aliyepita kati yao.