Job 15:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi? Je, mtu huyo amejaa maneno matupu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu, au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kujaza tumbo lake na upepo wa mashariki?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi? Je, mtu huyo amejaa maneno matupu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu, au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu, au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi? Je, mtu huyo amejaa maneno matupu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Au yuko atakayelijaza tumbo lake upepo utokao maawioni kwa jua?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kujaza tumbo lake na upepo wa mashariki?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwenye hekima anajibu bila kufikiri na kujaa maneno ya burebure?