Job 15:25 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa sababu amenyosha mkono wake dhidi ya Mungu; akadiriki kumpinga huyo Mungu mwenye nguvu;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa sababu amemkunjia Mungu ngumi yake na kujigamba dhidi ya Mwenyezi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa amenyosha mkono wake juu ya Mungu, Na kuendelea kwa kiburi kinyume cha Mwenyezi;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa sababu amenyosha mkono wake dhidi ya Mungu; akadiriki kumpinga huyo Mungu mwenye nguvu;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa sababu amemkunjia Mungu ngumi yake na kujigamba dhidi ya Mwenyezi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa sababu amemkunjia Mungu ngumi yake na kujigamba dhidi ya Mwenyezi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa amenyosha mkono wake juu ya Mungu, Na kuendelea kwa kiburi kinyume cha Mwenyezi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa sababu amenyosha mkono wake dhidi ya Mungu; akadiriki kumpinga huyo Mungu mwenye nguvu;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kuwa ameukunjua mkono wake, ampingie Mungu, akajivunia kuwa mwenye uwezo mbele yake Mwenyezi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa amenyosha mkono wake juu ya Mungu, Na kuendelea kwa kiburi kinyume cha Mwenyezi;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kwa sababu amenyoosha mukono wake apigane na Mungu na kujivuna kumupinga yule Mungu Mwenye Uwezo.