Job 15:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, aweza kubishana kwa maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, aweza kubishana juu ya maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, aweza kubishana juu ya maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo na faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa, au kwa maneno yasiyo na maana?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atamwonya mwenziwe kwa maneno yasiyofaa? Au atajisemea tu kwa mapuzi yasiyompatia mtu kitu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Ahoji na mazungumzo yasiyo faida, Au kwa maneno ambayo hawezi kufanya mema kwayo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anajitetea kwa maneno yasiyofaa na yasiyokuwa na maana?