Job 16:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hunivunja na kunipiga tena na tena; hunishambulia kama askari.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hunivunja kwa uvunjifu juu ya uvunjifu; Hunishambulia mfano wa jitu shujaa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hunivunja na kunipiga tena na tena; hunishambulia kama askari.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huniponda tena na tena, hunishambulia kama shujaa wa vita.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hunivunja kwa uvunjifu juu ya uvunjifu; Hunishambulia mfano wa jitu shujaa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hunivunja na kunipiga tena na tena; hunishambulia kama askari.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kunitia kidonda kwa kidonda akaniumiza vibaya, kama fundi wa vita akanijia na kupiga mbio sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hunivunja kwa uvunjifu juu ya uvunjifu; Hunishambulia mfano wa jitu shujaa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ananivunja na kunipiga tena na tena; ananishambulia kama askari.