Job 16:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mambo kama hayo nimeyasikia mengi; nyinyi ni wafariji duni kabisa!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nimesikia maneno mengi mfano wa hayo; Ninyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mambo kama hayo nimeyasikia mengi; nyinyi ni wafariji duni kabisa!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nimesikia maneno mengi mfano wa hayo; Ninyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mambo kama hayo nimeyasikia mengi; nyinyi ni wafariji duni kabisa!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ninyi nyote mwatuliza moyo na kuusumbua!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nimesikia maneno mengi mfano wa hayo; Ninyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mambo kama yale nimeyasikia mengi; ninyi ni wafariji wenye kutaabisha!