Job 18:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyayo zake mwenyewe zitamtia mtegoni; kila akitembea anakumbana na shimo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani ametupwa katika wavu na miguu yake mwenyewe, Naye huenda juu ya matanzi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyayo zake mwenyewe zitamtia mtegoni; kila akitembea anakumbana na shimo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwani ametupwa katika wavu na miguu yake mwenyewe, Naye huenda juu ya matanzi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyayo zake mwenyewe zitamtia mtegoni; kila akitembea anakumbana na shimo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani atanaswa miguu yake kwa wavu akitembea penye matanzi yaliyofichwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani ametupwa katika wavu na miguu yake mwenyewe, Naye huenda juu ya matanzi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Miguu yake mwenyewe itamutia katika mutego; kila mara anatembea juu ya shimo.