Job 19:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ameichochea ghadhabu yake dhidi yangu; ameniona kuwa kama adui yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hasira yake imewaka juu yangu; amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena ameziwasha ghadhabu zake juu yangu, Akanihesabia kuwa mmoja katika watesi wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ameichochea ghadhabu yake dhidi yangu; ameniona kuwa kama adui yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hasira yake imewaka juu yangu, amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hasira yake imewaka juu yangu; amenihesabu kuwa miongoni mwa adui zake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena ameziwasha ghadhabu zake juu yangu, Akanihesabia kuwa mmoja katika watesi wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ameichochea ghadhabu yake dhidi yangu; ameniona kuwa kama adui yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akanitolea makali yake, yaniwakie moto, akaniwazia kuwa kama mmoja wao wapingani wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena ameziwasha ghadhabu zake juu yangu, Akanihesabia kuwa mmoja katika watesi wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ameichochea kasirani yake juu yangu; ameniona kuwa kama adui yake.