Job 19:22 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa nini mnanifuatia kama Mungu? Mbona hamtosheki na mwili wangu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo? Hamtosheki kamwe na mwili wangu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mbona ninyi mnaniudhi kama Mungu, Wala hamkutosheka na nyama yangu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa nini mnanifuatia kama Mungu? Mbona hamtosheki na mwili wangu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo? Hamtosheki kamwe na mwili wangu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa nini mnanifuatia kama Mungu afanyavyo? Hamtosheki kamwe na mwili wangu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mbona ninyi mnaniudhi kama Mungu, Wala hamkutosheka na nyama yangu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa nini mnanifuatia kama Mungu? Mbona hamtosheki na mwili wangu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mbona mnanikimbiza kama Mungu, msishibe kuzinyafuanyafua nyama za mwili wangu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mbona ninyi mnaniudhi kama Mungu, Wala hamkutosheka na nyama yangu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa nini munanifuatilia kama Mungu? Mbona hamutosheki na mwili wangu?