Job 19:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivyo, nitamwona Mungu kwa macho yangu mwenyewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa, bado nikiwa na mwili huu nitamwona Mungu;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivyo, nitamwona Mungu kwa macho yangu mwenyewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa, bado nikiwa na mwili huu nitamwona Mungu;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nami baada ya ngozi yangu kuharibiwa, bado nikiwa na mwili huu nitamwona Mungu;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivyo, nitamwona Mungu kwa macho yangu mwenyewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwili wangu wenye ngozi utakapokwisha kuharibika, huu mwili wangu wenye nyama utakapokuwa haupo, hapo ndipo, nitakapopata kumwona Mungu;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na nyuma ngozi yangu kuharibika hivyo, nitamwona Mungu nikiwa na mwili huu.