Job 19:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Nyinyi mwaweza kujisemea: ‘Tutamfuatia namna gani?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda, maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama mkisema, Jinsi tutakavyomwudhi! Kwa kuwa shina la jambo hili limeonekana kwake;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Nyinyi mwaweza kujisemea: ‘Tutamfuatia namna gani?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda, maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kama mkisema, ‘Tazama tutakavyomwinda, maadamu mzizi wa tatizo uko ndani yake,’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama mkisema, Jinsi tutakavyomwudhi! Kwa kuwa shina la jambo hili limeonekana kwake;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Nyinyi mwaweza kujisemea: ‘Tutamfuatia namna gani?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mkisema: Haya! Na tumkimbize! kwani mizizi ya mambo haya imeonekana kwangu:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama mkisema, Jinsi tutakavyomwudhi! Kwa kuwa shina la jambo hili limeonekana kwake;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninyi munaweza kujisemesha: “Tutamufuatilia namna gani? Namna gani tutapata kwake maneno ya kumushitaki?”