Job 20:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwovu humeza mali haramu na kuitapika; Mungu huitoa tumboni mwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Atatema mali alizozimeza; Mungu atalifanya tumbo lake kuzitapika.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Amemeza mali, naye atayatapika tena; Mungu atayatoa tumboni mwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwovu humeza mali haramu na kuitapika; Mungu huitoa tumboni mwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Atatema mali alizozimeza, Mungu atalifanya tumbo lake kuzitapika.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Atatema mali alizozimeza; Mungu atalifanya tumbo lake kuzitapika.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Amemeza mali, naye atayatapika tena; Mungu atayatoa tumboni mwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwovu humeza mali haramu na kuitapika; Mungu huitoa tumboni mwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
hizo mali nyingi, alizozimeza, hana budi kuzitapika, Mungu akizitoa kwa nguvu tumboni mwake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Amemeza mali, naye atayatapika tena; Mungu atayatoa tumboni mwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwovu anameza mali haramu na kuitapika; Mungu anaitoa ndani ya tumbo lake.