Job 20:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hicho ndicho apewacho mtu mwovu kutoka kwa Mungu, ndicho mwovu alichopangiwa na Mungu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hili ndilo fungu Mungu alilowagawia waovu, urithi uliowekwa kwa ajili yao na Mungu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu itokayo kwa Mungu, Na urithi aliowekewa na Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hicho ndicho apewacho mtu mwovu kutoka kwa Mungu, ndicho mwovu alichopangiwa na Mungu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hili ndilo fungu Mungu alilowagawia waovu, urithi uliowekwa kwa ajili yao na Mungu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hili ndilo fungu Mungu alilowagawia waovu, urithi uliowekwa kwa ajili yao na Mungu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu itokayo kwa Mungu, Na urithi aliowekewa na Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hicho ndicho apewacho mtu mwovu kutoka kwa Mungu, ndicho mwovu alichopangiwa na Mungu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hilo ndilo fungu, mtu asiyemcha Mungu atakalolipata kwake Mungu, ndio urithi, atakaogawiwa naye Mungu. Iyobu akajibu akisema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu itokayo kwa Mungu, Na urithi aliowekewa na Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hii ndiyo sehemu ya mutu mwovu kutoka kwa Mungu, ndio mwisho aliopangiwa na Mungu.