Job 21:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Nyinyi mwasema, ‘Mungu amewawekea watoto wao adhabu ya watu hao waovu.’ Kwa nini hawalipizi wao wenyewe, wapate kutambua!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Imesemekana, ‘Mungu huiweka akiba adhabu ya mtu kwa ajili ya wanawe.’ Mungu na amlipe mtu mwenyewe, ili apate kulijua!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwasema, Mungu huwawekea watoto wa mtu huo uovu wake. Na amlipe mwenyewe, ili apate kuujua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Nyinyi mwasema, ‘Mungu amewawekea watoto wao adhabu ya watu hao waovu.’ Kwa nini hawalipizi wao wenyewe, wapate kutambua!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Imesemekana, ‘Mungu huiweka akiba adhabu ya mtu kwa ajili ya wanawe.’ Mungu na amlipe mtu mwenyewe, ili apate kulijua!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Imesemekana, ‘Mungu huiweka akiba adhabu ya mtu kwa ajili ya wanawe.’ Mungu na amlipe mtu mwenyewe, ili apate kulijua!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwasema, Mungu huwawekea watoto wa mtu huo uovu wake. Na amlipe mwenyewe, ili apate kuujua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Nyinyi mwasema, ‘Mungu amewawekea watoto wao adhabu ya watu hao waovu.’ Kwa nini hawalipizi wao wenyewe, wapate kutambua!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwasema: Mungu huwawekea watoto wao maovu yao; lakini angewalipisha wenyewe, wapate kumjua,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwasema, Mungu huwawekea watoto wa mtu huo uovu wake. Na amlipe mwenyewe, ili apate kuujua.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninyi munasema: “Mungu amewawekea watoto wao azabu ya watu wale waovu.” Kwa nini hawalipizi wao wenyewe, wapate kutambua?