Job 21:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Eti mwauliza, ‘Iko wapi nyumba ya mkuu? Iko wapi nyumba alimoishi mwovu?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwasema, ‘Iko wapi sasa nyumba ya huyo mtu mkuu, mahema ambayo watu waovu walikaa?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa mwasema, Nyumba ya huyo mkuu i wapi? Na hema waliyoikaa hao waovu i wapi?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Eti mwauliza, ‘Iko wapi nyumba ya mkuu? Iko wapi nyumba alimoishi mwovu?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mwasema, ‘Iko wapi sasa nyumba ya huyo mtu mkuu, mahema ambayo watu waovu walikaa yako wapi?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwasema, ‘Iko wapi sasa nyumba ya huyo mtu mkuu, mahema ambayo watu waovu walikaa?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa mwasema, Nyumba ya huyo mkuu i wapi? Na hema waliyoikaa hao waovu iko wapi?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Eti mwauliza, ‘Iko wapi nyumba ya mkuu? Iko wapi nyumba alimoishi mwovu?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwasema: Nyumba ya mkuu aliyetesa watu iko wapi? Mahema, wasiomcha Mungu waliomokaa, yako wapi nayo?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa mwasema, Nyumba ya huyo mkuu i wapi? Na hema waliyoikaa hao waovu i wapi?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninyi munauliza: “Iko wapi nyumba ya yule mukubwa? Iko wapi nyumba mwovu alimoishi?”