Job 21:34 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu? majibu yenu hayana chochote ila uongo.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Hivyo ninyi mnawezaje kunifariji kwa upuzi wenu? Hakuna kilichosalia cha majibu yenu isipokuwa uongo!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi imekuwaje ninyi kunituza moyo bure, Kwa kuwa katika jawabu zenu unasalia uongo tu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu? majibu yenu hayana chochote ila uongo.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Hivyo ninyi mnawezaje kunifariji kwa upuzi wenu? Hakuna kilichosalia cha majibu yenu isipokuwa uongo!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Hivyo ninyi mnawezaje kunifariji kwa upuzi wenu? Hakuna kilichosalia cha majibu yenu isipokuwa uongo!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi imekuwaje ninyi kunituliza moyo kwa utupu mtupu, Kwa kuwa katika majibu yenu unasalia uongo tu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu? majibu yenu hayana chochote ila uongo.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nanyi mnaniambiaje matulizo ya moyo yaliyo ya bure? Kwani yanayosalia ya majibu yenu, ni ukatavu tu. Elifazi wa Temani akajibu akisema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi imekuwaje ninyi kunituza moyo bure, Kwa kuwa katika jawabu zenu unasalia uongo tu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutaweza namna gani basi, kunifariji kwa maneno matupu? Majibu yenu hayana kitu chochote lakini uongo tu.