Job 22:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hao ndio waliomwambia Mungu, ‘Achana nasi!’ Na ‘Wewe Mungu Mwenye Nguvu waweza nini juu yetu?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Waliomwambia Mungu, Tuondokee; Tena, Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hao ndio waliomwambia Mungu, ‘Achana nasi!’ Na ‘Wewe Mungu Mwenye Nguvu waweza nini juu yetu?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walimwambia Mungu, ‘Tuache sisi! Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Waliomwambia Mungu, Tuondokee; Tena, Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hao ndio waliomwambia Mungu, ‘Achana nasi!’ Na ‘Wewe Mungu Mwenye Nguvu waweza nini juu yetu?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndio, waliomwambia Mungu: Ondoka kwetu! Yako mambo gani atakayotufanyizia huyo Mwenyezi?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Waliomwambia Mungu, Tuondokee; Tena, Huyo Mwenyezi aweza kutufanyia nini?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hao ndio waliomwambia Mungu: “Achana nasi!” Na “Wewe Mungu Mwenye Uwezo unaweza nini juu yetu?”