Job 22:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Je, binadamu anafaa chochote kwa Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidi mwenyewe tu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu? Je, hata mtu mwenye hekima aweza kumfaidi?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Yumkini mtu awaye yote kumfaa Mungu? Hakika yeye aliye na hekima hujifaa mwenyewe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Je, binadamu anafaa chochote kwa Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidi mwenyewe tu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu? Je, hata mtu mwenye hekima aweza kujifaidia mwenyewe?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Je, mwanadamu aweza kuwa wa faida kwa Mungu? Je, hata mtu mwenye hekima aweza kumfaidi?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Yamkini mtu awaye yote kumfaa Mungu? Hakika yeye aliye na hekima hujifaa mwenyewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Je, binadamu anafaa chochote kwa Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidi mwenyewe tu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mwenye akili hujifalia mwenyewe tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Yumkini mtu awaye yote kumfaa Mungu? Hakika yeye aliye na hekima hujifaa mwenyewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwanadamu anafaa kwa kitu chochote mbele ya Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidia mwenyewe tu.