Job 22:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana, Mungu huwaporomosha wenye majivuno, lakini huwaokoa wanyenyekevu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’ ndipo atamwokoa aliyevunjika moyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hapo watakapokuangusha, utasema, Kuna kuinuka tena; Naye mnyenyekevu Mungu atamwokoa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana, Mungu huwaporomosha wenye majivuno, lakini huwaokoa wanyenyekevu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’ ndipo atamwokoa aliyevunjika moyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu watakaposhushwa, nawe ukasema, ‘Wainue!’ ndipo atamwokoa aliyevunjika moyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hapo watakapokuangusha, utasema, Kuna kuinuka tena; Naye mnyenyekevu Mungu atamwokoa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana, Mungu huwaporomosha wenye majivuno, lakini huwaokoa wanyenyekevu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Zitakapokunyenyekeza, utasema: Na nitukuke, naye aliye mnyenyekevu machoni pake mwenyewe atamwokoa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hapo watakapokuangusha, utasema, Kuna kuinuka tena; Naye mnyenyekevu Mungu atamwokoa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana, Mungu anawashusha wenye majivuno, lakini anawaokoa wanyenyekevu.