Job 23:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu ameufanya moyo wangu ufifie, Mungu Mwenye Nguvu amenitia hofu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia; yeye Mwenyezi amenitia hofu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia, Naye Mwenyezi amenitaabisha;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu ameufanya moyo wangu ufifie, Mungu Mwenye Nguvu amenitia hofu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia, yeye Mwenyezi amenitia hofu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia; yeye Mwenyezi amenitia hofu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia, Naye Mwenyezi amenitaabisha;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu ameufanya moyo wangu ufifie, Mungu Mwenye Nguvu amenitia hofu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu ameutisha moyo wangu, yeye Mwenyezi akanistusha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia, Naye Mwenyezi amenitaabisha;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu amefanya moyo wangu uregee, Mungu Mwenye Uwezo amenitia hofu.