Job 24:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kutoka mjini kilio cha wanaokufa chasikika, na walioumizwa hupaza sauti kuomba msaada; lakini Mungu hasikilizi kabisa sala zao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kilio cha huzuni cha wanaokufa kinapaa kutoka mjini, nazo nafsi za waliojeruhiwa zinalilia msaada. Lakini Mungu hamlaumu mtu yeyote kwa kutenda mabaya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watu huugua toka mji ulio na watu wengi, Na roho yake aliyejeruhiwa hupiga ukelele; Wala Mungu hauangalii upumbavu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kutoka mjini kilio cha wanaokufa chasikika, na walioumizwa hupaza sauti kuomba msaada; lakini Mungu hasikilizi kabisa sala zao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kilio cha huzuni cha wanaokufa kinapaa kutoka mjini, nazo nafsi za waliojeruhiwa zinalilia msaada. Lakini Mungu hamlaumu mtu ye yote kwa kutenda mabaya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kilio cha huzuni cha wanaokufa kinapaa kutoka mjini, nazo nafsi za waliojeruhiwa zinalilia msaada. Lakini Mungu hamlaumu mtu yeyote kwa kutenda mabaya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watu huugua toka mji ulio na watu wengi, Na roho yake aliyejeruhiwa hupiga ukelele; Wala Mungu hauangalii upumbavu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kutoka mjini kilio cha wanaokufa chasikika, na walioumizwa hupaza sauti kuomba msaada; lakini Mungu hasikilizi kabisa sala zao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wenye kufa wakipiga kite, husikilika toka mjini, nazo roho zao waliouawa kwa nguvu hulilia malipizo, lakini wakipumbazwa vibaya hivyo, Mungu haviangalii.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watu huugua toka mji ulio na watu wengi, Na roho yake aliyejeruhiwa hupiga ukelele; Wala Mungu hauangalii upumbavu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kutoka katika muji, kilio cha wanaokufa kinasikilika, na walioumizwa wanalalamika kuomba musaada. Lakini Mungu hasikilizi kabisa maombi yao.