Job 24:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Wapo wengine waovu wasiopenda mwanga, wasiozifahamu njia za mwanga, na hawapendi kuzishika njia zake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Wako wale wanaoiasi nuru, wasiofahamu njia zake wala hawakai katika mapito yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hawa ni katika hao waliouasi mwanga; Hawazijui njia zake, Wala hawakai katika mapito yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Wapo wengine waovu wasiopenda mwanga, wasiozifahamu njia za mwanga, na hawapendi kuzishika njia zake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Wako wale wanaoiasi nuru, wasiofahamu njia zake wala hawakai katika mapito yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Wako wale wanaoiasi nuru, wasiofahamu njia zake wala hawakai katika mapito yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hawa ni katika hao waliouasi mwanga; Hawazijui njia zake, Wala hawakai katika mapito yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Wapo wengine waovu wasiopenda mwanga, wasiozifahamu njia za mwanga, na hawapendi kuzishika njia zake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wenye kuchukizwa na mwanga ndio wenzao wale, hukataa kuzitambua njia zake hivyo, zilivyo, penye mikondo yake hawakai.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hawa ni katika hao waliouasi mwanga; Hawazijui njia zake, Wala hawakai katika mapito yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuna wengine waovu wasiopenda mwangaza, wasiofahamu njia za mwangaza, na hawapendi kushika njia zake.