Job 24:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwuaji huamka mapema alfajiri, ili kwenda kuwaua maskini na fukara, na usiku ukifika, kazi yake ni kuiba.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwanga wa mchana unapotoweka, muuaji huinuka, naye huwaua maskini na mhitaji; wakati wa usiku hunyemelea kama mwizi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwuaji huamka asubuhi kukipambauka, huwaua maskini na wahitaji; Tena wakati wa usiku yu kama mwivi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwuaji huamka mapema alfajiri, ili kwenda kuwaua maskini na fukara, na usiku ukifika, kazi yake ni kuiba.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati mwanga wa mchana unapotoweka, mwuaji huinuka naye huwaua maskini na mhitaji, wakati wa usiku huiba kama mwivi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati mwanga wa mchana unapotoweka, muuaji huinuka naye huwaua maskini na mhitaji; wakati wa usiku hunyemelea kama mwizi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwuaji huamka asubuhi kukipambazuka, huwaua maskini na wahitaji; Tena wakati wa usiku yu kama mwizi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwuaji huamka mapema alfajiri, ili kwenda kuwaua maskini na fukara, na usiku ukifika, kazi yake ni kuiba.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwuaji huinuka, kukipambazuka, aje kumwua mnyonge naye mkiwa, mambo ya usiku hufanana nayo yake mwizi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwuaji huamka asubuhi kukipambauka, huwaua maskini na wahitaji; Tena wakati wa usiku yu kama mwivi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mwuaji anaamuka asubui mapema, kwa kwenda kuwaua wamasikini na wakosefu, na usiku ukifika, kazi yake ni kuiba.