Job 24:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu wanaoondoa alama za mipaka ya mashamba, na wengine huiba mifugo na kuilisha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu husogeza mawe ya mpaka; huchunga makundi ya wanyama waliyonyang’anya kwa nguvu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi kwa jeuri na kuyalisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu wanaoondoa alama za mipaka ya mashamba, na wengine huiba mifugo na kuilisha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu husogeza mawe ya mpaka; huchunga makundi ya wanyama waliyonyang'anya kwa nguvu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu husogeza mawe ya mpaka; huchunga makundi ya wanyama waliyonyang’anya kwa nguvu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi na kuyalisha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu wanaoondoa alama za mipaka ya mashamba, na wengine huiba mifugo na kuilisha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wasogezao mipaka wako huku, nao wanyang'anyao makundi ya kondoo, wayachunge kuwa yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi kwa jeuri na kuyalisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu wanaondoa vitambulisho vya mipaka ya mashamba, na wengine wanaiba makundi ya nyama na kuwafuga.