Job 24:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana mzazi wao huwasahau watu hao, hakuna atakayewakumbuka tena. Ndivyo uovu ulivyovunjwa kama mti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tumbo lililowazaa huwasahau, nao huwa karamu ya mabuu; watu waovu hawakumbukwi tena, lakini huvunjika kama mti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana mzazi wao huwasahau watu hao, hakuna atakayewakumbuka tena. Ndivyo uovu ulivyovunjwa kama mti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tumbo lililowazaa huwasahau, nao huwa karamu ya mabuu; watu waovu hawakumbukwi tena, lakini huvunjika kama mti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tumbo lililowazaa huwasahau, nao huwa karamu ya mabuu; watu waovu hawakumbukwi tena, lakini huvunjika kama mti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana mzazi wao huwasahau watu hao, hakuna atakayewakumbuka tena. Ndivyo uovu ulivyovunjwa kama mti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nalo tumbo la mama na limsahau, wadudu wakiufurahia utamu wa mwili wake; kwa kuwa mpotovu na avunjwe kama mti, asikumbukwe tena.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Maana muzazi wao anawasahau watu hao, hakuna atakayewakumbuka tena. Ndivyo uovu ulivyovunjika kama muti.