Job 24:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu, kwa nguvu yake huwaangamiza wenye uwezo, huinuka nao hukata tamaa ya kuishi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Mungu huwakokota wenye nguvu kwa uwezo wake; ingawa wamestawi, hawana hakika ya maisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini Mungu huwadumisha wenye uwezo kwa nguvu zake; Huinuka, wasiokuwa na tumaini la kuishi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu, kwa nguvu yake huwaangamiza wenye uwezo, huinuka nao hukata tamaa ya kuishi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Mungu huwakokota wenye nguvu kwa uwezo wake, ingawa wamestawi, hawana hakika ya maisha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Mungu huwakokota wenye nguvu kwa uwezo wake; ingawa wamestawi, hawana hakika ya maisha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini Mungu huwadumisha wenye uwezo kwa nguvu zake; Huinuka, wasiokuwa na tumaini la kuishi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu, kwa nguvu yake huwaangamiza wenye uwezo, huinuka nao hukata tamaa ya kuishi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa uwezo wake Mungu huwakalisha sana walio wenye nguvu, hata aliyekwisha kukata tamaa ainuke tena na kupata uzima.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini Mungu huwadumisha wenye uwezo kwa nguvu zake; Huinuka, wasiokuwa na tumaini la kuishi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu, kwa nguvu yake, anawaangamiza wenye uwezo; anasimama, nao wanakata tamaa ya kuishi.