Job 24:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maskini wanalazimika kuokota mabaki ya mavuno mashambani, wanaokota katika mashamba ya mizabibu ya waovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo katika mashamba ya mizabibu ya waovu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hukata nafaka zao mashambani; Na kuokota zabibu za waovu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maskini wanalazimika kuokota mabaki ya mavuno mashambani, wanaokota katika mashamba ya mizabibu ya waovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo katika mashamba ya mizabibu ya waovu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hukusanya chakula mashambani na kuokota masazo katika mashamba ya mizabibu ya waovu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hukata nafaka zao mashambani; Na kuokota zabibu za waovu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maskini wanalazimika kuokota mabaki ya mavuno mashambani, wanaokota katika mashamba ya mizabibu ya waovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mashambani kwa watu huchuma ya kujilisha, nayo mizabibu yao wasiomcha Mungu huiokoteza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hukata nafaka zao mashambani; Na kuokota zabibu za waovu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wamasikini wanalazimishwa kuvuna mashamba ya wengine, wanaokota katika shamba la mizabibu la waovu.