Job 24:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wapo na wanaowanyakua watoto yatima vifuani mwa mama yao. Wengine huwaweka rehani watoto wa maskini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtoto yatima hupokonywa matitini; mtoto mchanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wapo na wanaowanyakua watoto yatima vifuani mwa mama yao. Wengine huwaweka rehani watoto wa maskini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watoto wasio na baba hupokonywa matitini; watoto wachanga wa maskini hukamatwa kwa nguvu kwa ajili ya deni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtoto yatima hupokonywa matitini; mtoto wachanga wa maskini hunyakuliwa kwa ajili ya deni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wapo na wanaowanyakua watoto yatima vifuani mwa mama yao. Wengine huwaweka rehani watoto wa maskini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena wako wapokonyao kifuani kwa mama waliofiwa na baba, nao wanyonge huwavua mavazi kuwa rehani;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuna watu wanaoondoa watoto wayatima kwenye vifua vya mama yao. Wengine wanatwaa nguo ya masikini kuwa rehani.