Job 27:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wale watakaopona watakufa kwa maradhi mabaya, na wajane wao hawatawaombolezea.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao, nao wajane wao hawatawaombolezea.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hao watakaosalia kwake watazikwa katika kufa, Wala wajane wake waliofiwa na waume hawataomboleza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wale watakaopona watakufa kwa maradhi mabaya, na wajane wao hawatawaombolezea.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao, nao wajane wao hawatawaombolezea.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao, nao wajane wao hawatawaombolezea.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hao watakaosalia kwake watakufa kwa maradhi mabaya, Wala wajane wake waliofiwa na waume hawataomboleza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wale watakaopona watakufa kwa maradhi mabaya, na wajane wao hawatawaombolezea.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watakaosalia kwake watazikwa kwa kuuawa na kipindupindu, nao wajane wao hawatawaombolezea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hao watakaosalia kwake watazikwa katika kufa, Wala wajane wake waliofiwa na waume hawataomboleza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wale watakaopona watakufa kwa ugonjwa mukali, na wajane wao hawatawaomboleza.