Job 27:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyumba ajengayo mwovu ni kama utando wa buibui, ni kama kibanda cha mlinzi shambani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye hujenga nyumba yake kama mdudu, Na kama kibanda afanyacho mlinzi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyumba ajengayo mwovu ni kama utando wa buibui, ni kama kibanda cha mlinzi shambani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui, kama kibanda alichotengeneza mlinzi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye hujenga nyumba yake kama mdudu, Na kama kibanda afanyacho mlinzi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyumba ajengayo mwovu ni kama utando wa buibui, ni kama kibanda cha mlinzi shambani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akijenga nyumba yake, huwa kama buibui, au kama dungu, wanalomjengea mlinzi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye hujenga nyumba yake kama mdudu, Na kama kibanda afanyacho mlinzi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nyumba mwovu anayojenga ni kama vile utando wa buibui, ni kama vile kibanda cha mulinzi katika shamba.