Job 27:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huenda kulala tajiri, lakini ni mara ya mwisho; atafungua macho yake, na utajiri wake umetoweka!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye hulala akiwa tajiri, lakini ndiyo mara ya mwisho; afunguapo macho yake, yote yametoweka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye hujilaza hali ni tajiri, lakini ndio mwisho; Hufunua macho yake, naye hayuko.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huenda kulala tajiri, lakini ni mara ya mwisho; atafungua macho yake, na utajiri wake umetoweka!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye hulala akiwa tajiri, lakini ndiyo mara ya mwisho, afunguapo macho yake, yote yametoweka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye hulala akiwa tajiri, lakini ndiyo mara ya mwisho; afunguapo macho yake, yote yametoweka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye hujilaza hali ni tajiri, lakini ndio mwisho; Hufunua macho yake, naye hayuko.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huenda kulala tajiri, lakini ni mara ya mwisho; atafungua macho yake, na utajiri wake umetoweka!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Anakwenda kulala mwenye mali, lakini ni mara ya mwisho, akifumbua macho, hakuna mali tena.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye hujilaza hali ni tajiri, lakini ndio mwisho; Hufunua macho yake, naye hayuko.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anakwenda kulala akiwa tajiri, lakini ni mara ya mwisho; atafungua macho yake, na utajiri wake umetoweka!