Job 27:2 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Naapa kwa Mungu aliye hai, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Nguvu aliyeifanya nafsi yangu iwe na uchungu!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu, Mwenyezi ambaye amenifanya nionje uchungu wa nafsi,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama aishivyo Mungu, aliyeniondolea haki yangu; Huyo Mwenyezi aliyeitesa nafsi yangu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Naapa kwa Mungu aliye hai, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Nguvu aliyeifanya nafsi yangu iwe na uchungu!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu, Mwenyezi ambaye amenifanya nionje uchungu wa nafsi,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu, Mwenyezi ambaye amenifanya nionje uchungu wa nafsi,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama aishivyo Mungu, aliyeniondolea haki yangu; Huyo Mwenyezi aliyeitesa nafsi yangu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Naapa kwa Mungu aliye hai, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Nguvu aliyeifanya nafsi yangu iwe na uchungu!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
hivyo, Mwenyezi alivyoitia roho yangu machungu haya,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama aishivyo Mungu, aliyeniondolea haki yangu; Huyo Mwenyezi aliyeitesa nafsi yangu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama vile Mungu anavyoishi, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Uwezo aliyeifanya nafsi yangu ikuwe na uchungu,