Job 27:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Upepo humzomea akimbiapo, na kumfyonya toka mahali pake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Upepo humpigia makofi kwa dharau, na kumfukuza atoke mahali pake.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watu watampigia makofi, Na kumzomea atoke mahali pake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Upepo humzomea akimbiapo, na kumfyonya toka mahali pake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Upepo humpigia makofi kwa dharau na kumfukuza atoke mahali pake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Upepo humpigia makofi kwa dharau, na kumfukuza atoke mahali pake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watu watampigia makofi, Na kumzomea atoke mahali pake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Upepo humzomea akimbiapo, na kumfyonya toka mahali pake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watu wanampigia makofi na kumzomea, akitoka hapo pake, alipokuwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watu watampigia makofi, Na kumzomea atoke mahali pake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Upepo unamupigia vigelegele anapokimbia, na kumuzomea toka pahali pake.