Job 27:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Asiyemcha Mungu ana tumaini gani, Mungu anapomkatilia mbali, anapomwondolea uhai wake?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana mtu asiyemcha Mungu analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali, Mungu anapouondoa uhai wake?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Asiyemcha Mungu ana tumaini gani, Mungu anapomkatilia mbali, anapomwondolea uhai wake?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana mtu asiyemcha Mungu analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali, Mungu anapouondoa uhai wake?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana mtu asiyemcha Mungu analo tegemeo gani anapokatiliwa mbali, Mungu anapouondoa uhai wake?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Asiyemcha Mungu ana tumaini gani, Mungu anapomkatilia mbali, anapomwondolea uhai wake?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mwovu akijipatia mapato kwa kukorofisha watu, Mungu atakapoitaka roho yake kwake, yuko na kingojeo gani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Asiyemwogopa Mungu ana tumaini gani wakati Mungu anapokata pumzi yake, anapomwondolea uzima wake?