Job 29:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nilimwokoa maskini aliyenililia msaada, kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu nalimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
nilimwokoa maskini aliyenililia msaada, kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nilimwokoa maskini aliyenililia msaada, kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani nilimponya mnyonge, aliponililia, hata waliofiwa na wazazi, walipokosa msaidiaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu nalimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nilimwokoa masikini aliyenililia kupata musaada, vilevile na yatima asiyekuwa na wa kumusaidia.