Job 29:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mimi ni kama mti uliotandaza mizizi majini, umande wa usiku huburudisha matawi yangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mizizi yangu itafika hata kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Shina langu limeenea hata kufika majini, Na umande hukaa usiku kucha katika matawi yangu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mimi ni kama mti uliotandaza mizizi majini, umande wa usiku huburudisha matawi yangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Shina langu limeenea hata kufika majini, Na umande hukaa usiku kucha katika matawi yangu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mimi ni kama mti uliotandaza mizizi majini, umande wa usiku huburudisha matawi yangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mizizi yangu itatandama juu penye maji, nao umande utayanyea matawi yangu usiku kucha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Shina langu limeenea hata kufika majini, Na umande hukaa usiku kucha katika matawi yangu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi ni kama vile muti uliotandaza mizizi ndani ya maji; umande wa usiku unanyesha juu ya matawi yangu.