Job 29:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nilipomaliza kusema hawakuwa na cha kuongeza, maneno yangu yaliwakolea kama matone ya mvua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi; maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hawakunena tena baada ya kusikia maneno yangu; Matamko yangu yakadondoka juu yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nilipomaliza kusema hawakuwa na cha kuongeza, maneno yangu yaliwakolea kama matone ya mvua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi, maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya mimi kuzungumza, hawakusema zaidi; maneno yangu yaliingia masikioni mwao kwa makini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hawakunena tena baada ya kusikia maneno yangu; Matamko yangu yakadondoka juu yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nilipomaliza kusema hawakuwa na cha kuongeza, maneno yangu yaliwakolea kama matone ya mvua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hakuwako mwingine aliyesema, nilipokwisha kusema, maneno yangu yakawa kama matone yaliyowadondokea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hawakunena tena baada ya kusikia maneno yangu; Matamko yangu yakadondoka juu yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nilipomaliza kusema hawakukuwa na cha kuongeza; maneno yangu yaliwakolea kama vile matone ya mvua.