Job 29:25 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Niliwatangulia kuwaongoza, nikawaonesha njia; nilikuwa kwao kama mfalme kati ya majeshi yake; kama mtu anayewafariji wenye msiba.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Niliwachagulia njia, nikakaa kama mkuu wao. Nikakaa kama mfalme katika jeshi la askari, Mfano wa awafarijiye hao waombolezao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Niliwatangulia kuwaongoza, nikawaonesha njia; nilikuwa kwao kama mfalme kati ya majeshi yake; kama mtu anayewafariji wenye msiba.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Niliwachagulia njia na kukaa kama mkuu wao; niliishi kama mfalme katikati ya majeshi yake; nikawa kama yeye anayewafariji waombolezaji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Niliwachagulia njia, nikakaa kama mkuu wao. Nikakaa kama mfalme katika jeshi la askari, Mfano wa awafarijiye hao waombolezao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Niliwatangulia kuwaongoza, nikawaonesha njia; nilikuwa kwao kama mfalme kati ya majeshi yake; kama mtu anayewafariji wenye msiba.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nilipojielekeza kwenda kwao nilikaa nao kama kichwa chao, au kama mfalme katika vikosi vyake kwa kuwa kama mtu anayewatuliza mioyo waliosikitika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Niliwachagulia njia, nikakaa kama mkuu wao. Nikakaa kama mfalme katika jeshi la askari, Mfano wa awafarijiye hao waombolezao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Niliwatangulia kwa kuwaongoza, nikawaonyesha njia. Nilikuwa kwao kama vile mufalme kati ya majeshi yake; kama vile mutu anayewafariji wenye musiba.