Job 3:16 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Au, mbona sikuwa kama mimba iliyoharibika, naam, kama mtoto aliyezaliwa mfu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Au kwa nini sikufichwa ardhini kama mtoto aliyezaliwa mfu, kama mtoto mchanga ambaye kamwe hakuuona mwanga?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Au, kama kuzikwa mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Au, mbona sikuwa kama mimba iliyoharibika, naam, kama mtoto aliyezaliwa mfu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Au kwa nini sikufichwa ardhini kama mtoto aliyezaliwa mfu, kama mtoto mchanga ambaye kamwe hakuuona mwanga?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Au kwa nini sikufichwa ardhini kama mtoto aliyezaliwa mfu, kama mtoto mchanga ambaye kamwe hakuuona mwanga?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Au, mbona kuzikwa kama mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Au, mbona sikuwa kama mimba iliyoharibika, naam, kama mtoto aliyezaliwa mfu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
au ningalikwisha kuchimbiwa tu kama mimba iliyoharibika, nisipate kuwapo kama wachanga wasiouona mwanga.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Au, kama kuzikwa mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa nini sikukuwa kama mutoto aliyezaliwa mufu ambaye hakuona mwangaza?