Job 30:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa kuwa Mungu amenidhoofisha na kuniaibisha, wamekuwa huru kunitendea wapendavyo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sasa kwa kuwa Mungu ameilegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa, wamekuwa huru kunitendea wanavyopenda.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani ameilegeza kamba yake, na kunitesa, Wala hawajizuii tena mbele yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa kuwa Mungu amenidhoofisha na kuniaibisha, wamekuwa huru kunitendea wapendavyo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sasa kwa kuwa Mungu ameilegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa, wamekuwa huru kunitendea waonavyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sasa kwa kuwa Mungu ameilegeza kamba ya upinde wangu na kunitesa, wamekuwa huru kunitendea waonavyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwani ameilegeza kamba yake, na kunitesa, Wala hawajizuii tena mbele yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa kuwa Mungu amenidhoofisha na kuniaibisha, wamekuwa huru kunitendea wapendavyo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vilivyowazuia wakavifungua, wanitese, usoni pangu wakavitupa mbali hivyo vifungo vyao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani ameilegeza kamba yake, na kunitesa, Wala hawajizuii tena mbele yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Mungu ameniregeza na kunishusha, wamekuwa huru kunitendea wanavyopenda.