Job 30:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu hao hukata njia yangu huchochea balaa yangu, na hapana mtu wa kuwazuia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huizuia njia yangu, nao hufanikiwa katika kuniletea maafa, nami sina yeyote wa kunisaidia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Waiharibu njia yangu, Wauzidisha msiba wangu, Watu wasio na msaidizi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu hao hukata njia yangu huchochea balaa yangu, na hapana mtu wa kuwazuia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huizuia njia yangu, nao hufanikiwa katika kuniletea maafa, nami sina ye yote wa kunisaidia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huizuia njia yangu, nao hufanikiwa katika kuniletea maafa, nami sina yeyote wa kunisaidia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Waiharibu njia yangu, Wauzidisha msiba wangu, Watu wasio na msaidizi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu hao hukata njia yangu huchochea balaa yangu, na hapana mtu wa kuwazuia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Njia yangu wakaichimbua, isipitike, wao wakosao msaidiaji husaidia kunitumbukiza mwangamizoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Waiharibu njia yangu, Wauzidisha msiba wangu, Watu wasio na msaidizi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu hao wanakata njia yangu, wanazidisha hasara yangu, na hakuna mutu wa kuwazuia.