Job 30:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Je, mtu akikumbwa na maangamizi hainui mkono? Je, mtu akiwa taabuni haombi msaada
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Hakika hakuna mtu anayemshambulia mhitaji anapoomba msaada katika shida yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Je! Mtu katika kuanguka kwake hanyoshi mkono? Na kulilia msaada katika msiba wake?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Je, mtu akikumbwa na maangamizi hainui mkono? Je, mtu akiwa taabuni haombi msaada
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Hakika hakuna ye yote amshambuliaye mhitaji, anapoomba msaada katika shida yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Hakika hakuna yeyote amshambuliaye mhitaji, anapoomba msaada katika shida yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Je! Mtu katika kuanguka kwake hanyoshi mkono? Na kulilia msaada katika msiba wake?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Je, mtu akikumbwa na maangamizi hainui mkono? Je, mtu akiwa taabuni haombi msaada
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Je? Mtu akitumbukia shimoni hanyoshi mkono? Au mtu akizama hapigi yowe kwa sababu hiyo?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Mtu katika kuanguka kwake hanyoshi mkono? Na kulilia msaada katika msiba wake?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, mutu akiangamia hainui mukono? Mutu akiwa tabani haombi musaada?