Job 30:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walikuwa wapumbavu wakuu na mabaradhuli ambao walilazimika kufukuzwa nchini kwa kiboko.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya, waliofukuzwa watoke katika nchi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wao ni wana wa wapumbavu, naam, watoto wa wahuni; Walifukuzwa kwa mijeledi watoke katika nchi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walikuwa wapumbavu wakuu na mabaradhuli ambao walilazimika kufukuzwa nchini kwa kiboko.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya, waliofukuzwa watoke katika nchi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wao ni watoto wa wapumbavu wenye asili ya ubaya, waliofukuzwa watoke katika nchi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wao ni wana wa wapumbavu, naam, watoto wa wahuni; Walifukuzwa kwa mijeledi watoke katika nchi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walikuwa wapumbavu wakuu na mabaradhuli ambao walilazimika kufukuzwa nchini kwa kiboko.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndio wenye upumbavu wenyewe wasiojua hata majina yao, nako kwao walifukuzwa na kupigwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wao ni wana wa wapumbavu, naam, watoto wa wahuni; Walifukuzwa kwa mijeledi watoke katika nchi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walikuwa wapumbafu wakubwa na waovu ambao walilazimishwa kufukuzwa katika inchi kwa fimbo.