Job 30:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Na sasa wamenitungia wimbo wa kunizomea, nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Nao sasa wana wao wananidhihaki katika nyimbo; nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na sasa mimi nimekuwa wimbo wao, Naam, nimekuwa simo kwao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Na sasa wamenitungia wimbo wa kunizomea, nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Nao sasa wana wao wananidhihaki katika nyimbo, nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Nao sasa wana wao wananidhihaki katika nyimbo; nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na sasa mimi nimekuwa wimbo wao, Naam, nimekuwa simo kwao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Na sasa wamenitungia wimbo wa kunizomea, nimekuwa kitu cha dhihaka kwao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sasa nimegeuka kuwa mtu wao hao wa kumzomea, nikapata kuwa kwao kama fumbo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na sasa mimi nimekuwa wimbo wao, Naam, nimekuwa simo kwao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na sasa wamenitungia wimbo wa kunizomea, nimekuwa kitu cha kuchekesha kwao.