Job 31:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jambo hilo ni kosa kuu la jinai, uovu ambao hakimu lazima atoe adhabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu, naam, dhambi ya kuhukumiwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwani hilo lingekuwa kosa kuu; Naam, lingekuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jambo hilo ni kosa kuu la jinai, uovu ambao hakimu lazima atoe adhabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu, naam, dhambi ya kuhukumiwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa hilo lingekuwa aibu, naam, dhambi ya kuhukumiwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwani hilo lingekuwa kosa kuu; Naam, lingekuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jambo hilo ni kosa kuu la jinai, uovu ambao hakimu lazima atoe adhabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani hili lingekuwa kosa lililo baya zaidi, ni kukora manza zipasazo kuhukumiwa na waamuzi wakuu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwani hilo lingekuwa kosa kuu; Naam, lingekuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Jambo hilo ni kosa la kuchukiza, uovu ambao mwamuzi anapaswa kuazibu.